KARIBU YAKO ZAIDI

test

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

March 26, 2017

Msanii Ney wa Mitego amekamatwa na Polisi Asubuhi hii

Kutoka Morogoro asubuhi hii Msanii wa Bongofleva Nay wa Mitego ambaye hivi karibuni ametoa wimbo mpya anaodai amezungumza ukweli wa moyo wake kwa kinachoendelea, amethibitisha kukamatwa na Polisi.
Nay ameandika kwenye Instagram yake “Nimekamatwa kweli muda huu nikiwa Hoteli Morogoro baada ya kumaliza kazi yangu iliyonileta, napelekwa Movemero Police, Nawapenda Watanzania wote #truth #Wapo”

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages