Rosa Ree ni rapper wa kike kutoka label ya Navy Kenzo, The Industry.
Akiwa na nyimbo mbili tu hadi sasa, jina lake limeshateka mijadala kwenye vijiwe vya hip hop pamoja na mtandaoni.
Akiwa na nyimbo mbili tu hadi sasa, jina lake limeshateka mijadala kwenye vijiwe vya hip hop pamoja na mtandaoni.
Wasanii wakubwa wakiwemo Joh Makini na Diamond wameshanukuliwa wakisema wanamkubali rapper huyo. Video ya wimbo wake mpya, Up In The Air imeendelea kupata airtime ya kutosha kwenye vituo vya runinga vya nje huku wiki hii ukiwa umekamata nafasi ya 5 kwenye chati za muziki wa Afrika ya Soundcity (African Rox Countdown).
No comments:
Post a Comment