KARIBU YAKO ZAIDI

test

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

April 6, 2017

Spika wa Bunge Amuru kukamatwa kwa Halima Mdee


Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumfikisha Bungeni Mbunge wa Kawe (CHADEMA) Halima Mdee kujibu tuhuma za kutoa lugha za matusi kwa Spika wakati wa uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki uliofanyika April 4, 2017.
Taarifa zaidi itakujia baadae…

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages